Posts

Showing posts with the label <script async src="https://pagead2.googlesyndication.com/pagead/js/adsbygoogle.js?client=ca-pub-6495308952832439" crossorigin="anonymous"></script>

USHINDE WA TANZANIA DHIDI YA GUINEA

Image
  Ushindi wa Tanzania Dhidi ya Guinea Muhtasari wa Mechi Katika mechi iliyochezwa jana, timu ya taifa ya Tanzania ilifanikiwa kuibuka na ushindi wa goli moja dhidi ya Guinea katika mchezo wa kuwania kufuzu afconi kule morroco 2025. Ushindi huu ni muhimu kwa sababu unadhihirisha maendeleo ya soka la Tanzania na uwezo wa wachezaji wake kushindana na timu zenye uzoefu mkubwa kama Guinea. Mwelekeo wa Mchezo Tanzania ilianza mchezo kwa nguvu, ikionyesha mbinu nzuri za uchezaji na umoja kati ya wachezaji. Katika kipindi cha kwanza, walitengeneza nafasi kadhaa za kufunga, lakini walikosa kutumia vizuri fursa hizo. Hata hivyo, juhudi zao zilizaa matunda katika kipindi cha pili ambapo mchezaji simoni msuva alifunga bao la kwanza msuva alionesha ukomavu na kiwango bora. Ushindi na Maana Yake Ushindi huu unakuja wakati muafaka kwa timu ya Tanzania ambayo inajitahidi kujijenga kuelekea mashindano makubwa yajayo ya Afcon. Ni ushindi unaowapa motisha wachezaji na benchi la ufundi kuendelea kufan...

Subscribe my channel

Image
Is specialize in movie analysis don't miss to subscribe. It will help you to understand movie before and after watching  

HISTORIA NA WASIFU WA RONALDO

Image
ronaldo. Kwa majina kamili anaitwa cristano Ronaldo dos Santos Aveiro ni mchezaji wa kimataifa wa ureno alizaliwa tarehe 5 mwezi wa pili 1985. Mi moja ya wachezaji Bora wachezaji Bora wa muda wote kulingana na rekodi za FIFA amechukua balon dior tano, kiatu Cha dhahabu Cha mchezaji Bora wa ulaya Mara nne, amechukua jumla ya mataji 32 ikijumuisha mataji Saba ya ligi pamoja na mataji matano ya klabu bingwa ulaya.                      TAKWIMU ZA RONALDO KWA NJIA YA JEDUWALI Cup                                   TAARIFA BINAFSI :Jina kamili  Cristiano Ronaldo dos Santos Aveiro :Tarehe ya kuzaliwa 5/2/1985 (miaka 38 kwa sasa) :Mahali alipozaliwa Funchal, Madeira, ureno :Urefu 1.87 m (6 ft 2 in) :Nafasi mshambuliaji :Timu anayoichezea kwa Sasa Al Nassr Number 7 :Karia yake kwenye mpira wa miguu 1992–1995 Andorinha 1995–1997 Nacional 1997–2002 Sportin...

HISTORIA YA MESSI

Image
Jina lake kamili anaitwa Lionel Andreas Messi ni mchezaji wa kimataifa wa argentina alizaliwa June 24 1987 huko Rosalia argentina ni mchezaji anayeshikilia rekodi ya kubeba ballon Dior 7 ambapo ballon Dior ya kwanza alichukua mnamo 2009, 2012, 2015, 2019 na 2021 mnamo mwaka 2022 alikisaidia kikosi Cha agentina kuchukua kombe la dunia ambapo alihusika moja kwa moja kwa kufunga goli MAISHA YA AWALI Messi alianza kucheza mpira akiwa ni kijana mdogo Sana mwaka 1995 Newell's old boys kutokana na uwezo wake mkubwa wa kuichezea mpira vilabu mbalimbali vilitaka kumsajili kijana huyo ambapo familia yake iliona mahali sahihi kwa kijana wao kucheza mpira ni pale uhispania katika club ya Barcelona ambapo alikuwa akicheza katika timu ya vijana wadogo amabapo alifunga magoli 21 katika michezo 14 ambapo uwezo wake huo ulimfanya achaguliwe kuchezea katiaka kikosi Cha kwanza Cha Barcalona akiwa na umri wa miaka 16 tu. UCHEZAJI WAKE NDANI YA CLUB mwaka 2004 mpaka 2005 alichezea katika timu ya vijana...