YOUNG AFRICA VS MARUMO GALLANTS

 

Je unafikiri yanga wanaweza  kutoka pale kwa madiba kiurahisi na kutimba fainali kibabe ? 

Fikiria hizi zinakuja vichwani mwa watu kutokana na yanga kushinda goli mbili kwenye uwanja wa nyumbani.

Kwa kiwango walichokionesha marumo GALLANTS nadhani yanga bado Wana wakati mgumu Sana kutimba fainali.

Karibu kuacha uchambuzi wako hapo kwenye komenti afu tusubirie dakika tisini.

Comments

Popular posts from this blog

SAFARI NA VIKWAZO

USHINDE WA TANZANIA DHIDI YA GUINEA

WHAT IS INTERVIE, THINGS TO CONCIDER BEFORE AND DURIND INTERVIEW