Wapishi wa nyama nahitaji hayo hapo

 

  • Nyama steki kilo 1

Viungo vya kulainishia nyama

  • Paprika kijiko 1 cha chai
  • Bizari nyembamba ½ kijiko cha chai
  • Nutmeg ½ kijiko cha chai
  • Giligilani ½ kijiko cha chai
  • Mafuta vijiko 2 vya chakula
  • Garam masala ½ kijiko cha chai
  • Iliki ½ kijiko cha chai
  • Pilipili ndefu 1
  • Limao ½
  • Kitunguu saumu 1, kimenywe na kupondwa

Mahitaji ya kupikia nyama

  • Tangawizi kiasi
  • Curry powder kiasi
  • Bizari kiasi
  • Giligilani nusu kijiko  cha chai
  • Vitunguu saumu 2
  • Karoti 1
  • Pilipili hoho 1
  • Nyanya maji 4, ziwe zimeiva vizuri
  • Garam masala ½ kijiko cha chai
  • Chumvi ½ kijiko cha chai

Comments

Popular posts from this blog

SAFARI NA VIKWAZO

USHINDE WA TANZANIA DHIDI YA GUINEA

WHAT IS INTERVIE, THINGS TO CONCIDER BEFORE AND DURIND INTERVIEW