LIONEL MESSI

 

 

Leonel Messi ni mchezaji wa kimataifa wa timu ya Argentina  alizaliwa mnamo June, 24,1987 kwa Sasa ni mchezaji wa PSG ya ujerumani akiwa ametimiza miaka 35.

MSHAHARA ANAOPOKEA MESSI

Messi ni miongoni mwa wachezaji wanaolipwa fedha nyingi sana. Kulingana na takwimu zinaonesha Messi analipwa 41 million USD ambazo ukizibadilisha kwenye hela ya kiTanzania unapata Sh96,104,000,000.00 kwa mwaka 

IDADI YA MAGOLI ALOFUNGA MESSI MPAKA SASA

Messi akiwa Barcelona akifunga magoli 672

Akiwa PSG magoli 30

Argentina 102

Jumla 804

Comments

Popular posts from this blog

SAFARI NA VIKWAZO

USHINDE WA TANZANIA DHIDI YA GUINEA

WHAT IS INTERVIE, THINGS TO CONCIDER BEFORE AND DURIND INTERVIEW