Posts

YANGA YAPOKEA KICHAPO KUTOKA KWA AL HILAL

Image
  Yanga imefungwa magoli mawili na timu ya Al Hilal ya Sudani. Muktadha wa Mchezo Katika mchezo wa awali kati ya Yanga SC na Al Hilal, timu hizi zilipambana katika mchezo wa Kwanza hatua ya makundi Ligi ya Mabingwa Afrika. Katika mechi hiyo, Yanga imefungwa jumla ya mabao 2-0. Mchezo huo umefanyika katika uwanja wa Benjamin mkapa, ambapo Yanga imefungwa 2-0. Maelezo Zaidi Al Hilal, ambayo ni moja ya timu kubwa nchini Sudan, imeonyesha uwezo wake katika mchezo huo, ikitumia fursa zake vyema na kuweza kupata ushindi dhidi ya Yanga. Ushindi huu uliongeza rekodi nzuri kwa Al Hilal dhidi ya Yanga katika mashindano haya. Hii ni historia muhimu kwa klabu hizo mbili, kwani inadhihirisha changamoto ambazo Yanga wamekuwa wakikabiliana nazo katika mashindano makubwa kama haya. Kwa upande mwingine, Al Hilal imekuwa na mafanikio zaidi katika Ligi za Kimataifa, jambo ambalo limewapa faida katika mechi zao dhidi ya wapinzani mbalimbali. Kwa hivyo,  Yanga imefungwa magoli mawili na timu ya Al...

WHAT IS INTERVIE, THINGS TO CONCIDER BEFORE AND DURIND INTERVIEW

An interview is a formal conversation between two or more people where one person, typically the interviewer, asks questions and the other person, the interviewee, responds. The purpose of an interview is to gather information, assess qualifications, explore a topic in depth, or make decisions. Interviews can take place in various settings, such as job interviews, journalism interviews, research interviews, or celebrity interviews. In a job interview, for example, a candidate is usually asked a series of questions related to their work experience, skills, and qualifications to determine if they are a good fit for the position. The interviewer may also inquire about the candidate's strengths, weaknesses, and how they handle challenges. The candidate's answers provide insight into their personality, work ethic, and potential contribution to the organization. Overall, an interview is a structured way to exchange information and gain insights into a person's thoughts, experienc...

USHINDE WA TANZANIA DHIDI YA GUINEA

Image
  Ushindi wa Tanzania Dhidi ya Guinea Muhtasari wa Mechi Katika mechi iliyochezwa jana, timu ya taifa ya Tanzania ilifanikiwa kuibuka na ushindi wa goli moja dhidi ya Guinea katika mchezo wa kuwania kufuzu afconi kule morroco 2025. Ushindi huu ni muhimu kwa sababu unadhihirisha maendeleo ya soka la Tanzania na uwezo wa wachezaji wake kushindana na timu zenye uzoefu mkubwa kama Guinea. Mwelekeo wa Mchezo Tanzania ilianza mchezo kwa nguvu, ikionyesha mbinu nzuri za uchezaji na umoja kati ya wachezaji. Katika kipindi cha kwanza, walitengeneza nafasi kadhaa za kufunga, lakini walikosa kutumia vizuri fursa hizo. Hata hivyo, juhudi zao zilizaa matunda katika kipindi cha pili ambapo mchezaji simoni msuva alifunga bao la kwanza msuva alionesha ukomavu na kiwango bora. Ushindi na Maana Yake Ushindi huu unakuja wakati muafaka kwa timu ya Tanzania ambayo inajitahidi kujijenga kuelekea mashindano makubwa yajayo ya Afcon. Ni ushindi unaowapa motisha wachezaji na benchi la ufundi kuendelea kufan...

SAFARI NA VIKWAZO

Image
Safari ni hali ya kutoka sehemu moja kwenda sehemu nyingine kwa madhumuni ya kutimiza au kufanya Jambo Fulani.       Siku moja nilisafiri kutoka iringa Hadi dar es salaam Safari ilianza saa moja na nusu asubuhi siku hiyo wasafiri walikuwa wengi Sana kiasi kwamba waliochelewa kukata mapema tiketi walikosa usafiri mi nilipo panda tu kwenye Basi nikaona nijichukue kaklipu kidogo "Mana picha ni kumbukumbu yenye kubeba uhalisia mwingi" nilichikua video hii hapa👇 Baada ya kukaa kwenye siti Safari ikaanza tukatoka iringa salama tukapita maeneo hatarishi yote ile tunakaribia kuimaliza iringa tuingie morogoro gari likaharibika ulikuwa no mida ya saa nne asubuhi tukapaki tukiwa ndani ya gari wakaendelea kutengeneza  ambapo walitumia masaa matatu baada ya hapo dereva akaliwasha ili apite aingie morogoro aseme gari liliharibikia morogoro ili aweze kufuta ushahidi Mana mbele walikuwepo matrafic alifanya hivyo Ila abiria walikuwa wakali mpaka wakaenda kuwaita matrafic ndipo ...

Subscribe my channel

Image
Is specialize in movie analysis don't miss to subscribe. It will help you to understand movie before and after watching  

Wapishi wa nyama nahitaji hayo hapo

  Nyama steki kilo 1 Viungo vya kulainishia nyama Paprika kijiko 1 cha chai Bizari nyembamba ½ kijiko cha chai Nutmeg ½ kijiko cha chai Giligilani ½ kijiko cha chai Mafuta vijiko 2 vya chakula Garam masala ½ kijiko cha chai Iliki ½ kijiko cha chai Pilipili ndefu 1 Limao ½ Kitunguu saumu 1, kimenywe na kupondwa Mahitaji ya kupikia nyama Tangawizi kiasi Curry powder kiasi Bizari kiasi Giligilani nusu kijiko  cha chai Vitunguu saumu 2 Karoti 1 Pilipili hoho 1 Nyanya maji 4, ziwe zimeiva vizuri Garam masala ½ kijiko cha chai Chumvi ½ kijiko cha chai